Hapo wanyama huingia mafichoni, Na kukaa katika mapango yao. Dhoruba hutoka katika vyumba vyake; Na baridi ghalani mwake. Barafu huletwa kwa pumzi za Mungu; Na upana wa maji huganda. Naam, huyatweka mawingu mazito mzigo wa maji; Hulitandika wingu la umeme wake
Soma Ayu 37
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Ayu 37:8-11
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video