Moyo wangu hunitetema kwayo pia, Nao hutoka mahali pake. Zisikizeni hizo kelele za sauti yake, Na uvumi utokao kinywani mwake. Yeye huituma iende chini ya mbingu zote, Na radi yake hata miisho ya nchi. Baadaye sauti hunguruma; Yeye hunguruma kwa sauti ya ukuu wake; Hazizuii hapo sauti yake isikiwapo.
Soma Ayu 37
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Ayu 37:1-4
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video