Lakini umejaa hukumu ya waovu; Hukumu na haki hukushika. Basi ujitunze, isije hasira ikakuvuta hata ukafanya mzaha; Wala usikubali ukuu wa ukombozi ukugeuze. Je! Mali yako yatatosha, hata usiwe katika taabu, Au uwezo wote wa nguvu zako?
Soma Ayu 36
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Ayu 36:17-19
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video