Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezr 5:3-4

Ezr 5:3-4 SUV

Wakati ule ule Tatenai, liwali wa ng’ambo ya Mto, na Shethar-Bozenai, na wenzi wao, wakawajia, wakawaambia, Ni nani aliyewapa amri kuijenga nyumba hii, na kuumaliza ukuta huu? Ndipo wakawauliza hivi, Majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani na nani?

Soma Ezr 5

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha