Nilitafakari juu ya siku zilizopita, miaka mingi iliyopita, nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku. Moyo wangu ulitafakari na roho yangu ikauliza: “Je, Bwana atakataa milele? Je, hatatenda mema tena? Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele? Je, ahadi yake imekoma nyakati zote? Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, katika hasira amezuia huruma yake?”
Soma Zaburi 77
Sikiliza Zaburi 77
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 77:5-9
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video