Ee BWANA, nimekukimbilia wewe, usiache nikaaibika kamwe. Kwa haki yako uniponye na kuniokoa, unitegee sikio lako uniokoe. Uwe kwangu mwamba wa kimbilio, mahali nitakapokimbilia kila wakati; toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
Soma Zaburi 71
Sikiliza Zaburi 71
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 71:1-3
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video