Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 71:1-3

Zaburi 71:1-3 NEN

Ee BWANA, nimekukimbilia wewe, usiache nikaaibika kamwe. Kwa haki yako uniponye na kuniokoa, unitegee sikio lako uniokoe. Uwe kwangu mwamba wa kimbilio, mahali nitakapokimbilia kila wakati; toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha