Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu, hao huniwazia mabaya sana, wakisema, “Ugonjwa mbaya sana umempata, kamwe hatainuka tena kitandani mwake.” Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini, yule aliyekula chakula changu ameniinulia kisigino chake.
Soma Zaburi 41
Sikiliza Zaburi 41
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 41:7-9
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video