Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 17:1-2

Zaburi 17:1-2 NEN

Sikia, Ee BWANA, kusihi kwangu kwa haki, sikiliza kilio changu. Tega sikio kwa ombi langu, halitoki kwenye midomo ya udanganyifu. Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 17:1-2

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha