Heri ni wale wote wamchao BWANA, waendao katika njia zake. Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako. Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako. Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye BWANA. BWANA na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu, nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako.
Soma Zaburi 128
Sikiliza Zaburi 128
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 128:1-6
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video