Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 128:1-6

Zaburi 128:1-6 NEN

Heri ni wale wote wamchao BWANA, waendao katika njia zake. Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako. Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako. Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye BWANA. BWANA na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu, nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 128:1-6

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha