Zaburi 119:140-142
Zaburi 119:140-142 NEN
Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu, mtumishi wako anazipenda. Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa, sisahau mausia yako. Haki yako ni ya milele, na sheria yako ni kweli.
Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu, mtumishi wako anazipenda. Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa, sisahau mausia yako. Haki yako ni ya milele, na sheria yako ni kweli.