Zaburi 119:110-112
Zaburi 119:110-112 NEN
Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako. Sheria zako ni urithi wangu milele, naam ni furaha ya moyo wangu. Nimekusudia moyoni mwangu kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.
Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako. Sheria zako ni urithi wangu milele, naam ni furaha ya moyo wangu. Nimekusudia moyoni mwangu kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.