Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 118:5-7

Zaburi 118:5-7 NEN

Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia BWANA, naye akanijibu kwa kuniweka huru. BWANA yuko pamoja nami, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini? BWANA yuko pamoja nami, yeye ni msaidizi wangu. Nitawatazama adui zangu wakiwa wameshindwa.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha