Mataifa yote yalinizunguka, lakini kwa jina la BWANA naliwakatilia mbali. Walinizunguka pande zote, lakini kwa jina la BWANA naliwakatilia mbali. Walinizunguka kama kundi la nyuki, lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo; kwa jina la BWANA naliwakatilia mbali.
Soma Zaburi 118
Sikiliza Zaburi 118
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 118:10-12
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video