Mithali 24:19-20
Mithali 24:19-20 NEN
Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya wala usiwaonee wivu waovu, kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo, nayo taa ya waovu itazimwa.
Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya wala usiwaonee wivu waovu, kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo, nayo taa ya waovu itazimwa.