Wanyama hujificha; hubakia kwenye mapango yao. Dhoruba hutoka katika chumba chake, baridi hutoka katika upepo uendao kasi. Pumzi ya Mungu hutoa barafu, eneo kubwa la maji huganda. Huyasheheneza mawingu kwa maji, naye husambaza umeme wake wa radi kupitia hayo.
Soma Ayubu 37
Sikiliza Ayubu 37
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Ayubu 37:8-11
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video