Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 36:15-16

Ayubu 36:15-16 NEN

Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao, na kuzungumza nao katika dhiki zao. “Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki, ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi, hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ayubu 36:15-16

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha