Lakini kamwe msiseme tena, ‘Nina mzigo wa BWANA,’ kwa sababu kila neno la mtu binafsi linakuwa mzigo wake mwenyewe, na hivyo kupotosha maneno ya Mungu aliye hai, BWANA Mwenye Nguvu Zote, Mungu wetu. Hivi ndivyo utakavyoendelea kumuuliza nabii: ‘BWANA amekujibu nini?’ au ‘Je, BWANA amesema nini?’
Soma Yeremia 23
Sikiliza Yeremia 23
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Yeremia 23:36-37
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video