Nao watawaleta ndugu zenu wote, kutoka mataifa yote, mpaka kwenye mlima wangu mtakatifu katika Yerusalemu kama sadaka kwa BWANA, juu ya farasi, katika magari ya vita na magari makubwa, juu ya nyumbu na ngamia,” asema BWANA. “Watawaleta, kama Waisraeli waletavyo sadaka zao za nafaka, katika Hekalu la BWANA, katika vyombo safi kwa kufuata desturi za ibada.
Soma Isaya 66
Sikiliza Isaya 66
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Isaya 66:20
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video