Wamevunja Agano kama Adamu: huko hawakuwa waaminifu kwangu. Gileadi ni mji wenye watu waovu, umetiwa madoa kwa nyayo za damu. Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu, ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo; wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu, wakifanya uhalifu wa aibu.
Soma Hosea 6
Sikiliza Hosea 6
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Hosea 6:7-9
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video