Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu 11:16-17

Kumbukumbu 11:16-17 NEN

Jihadharini, la sivyo mtashawishika kugeuka na kuabudu miungu mingine na kuisujudia. Ndipo hasira ya BWANA itawaka dhidi yenu, naye atafunga mbingu ili mvua isinyeshe nayo ardhi haitatoa mazao, nanyi mtaangamia mara katika nchi nzuri ambayo BWANA anawapa.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha