Mpende BWANA Mungu wako na kushika masharti yake, amri zake, sheria zake na maagizo yake siku zote. Kumbuka hivi leo kwamba sio watoto wako walioona na kujua adhabu ya BWANA Mungu wako: utukufu wake, mkono wake wenye nguvu, mkono wake ulionyooshwa; ishara alizozifanya na mambo aliyoyafanya katikati ya Misri, kwa Farao mfalme wa Misri na kwa nchi yake yote
Soma Kumbukumbu 11
Sikiliza Kumbukumbu 11
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Kumbukumbu 11:1-3
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video