Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 27:35-36

Matendo 27:35-36 NEN

Baada ya kusema maneno haya, Paulo akachukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega akaanza kula. Ndipo wote wakatiwa moyo, wakaanza kula chakula.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 27:35-36

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha