Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 17:10-11

1 Samweli 17:10-11 NEN

Kisha yule Mfilisti akasema, “Siku hii ya leo nayatukana majeshi ya Israeli! Nipeni mtu tupigane.” Kwa kusikia maneno ya Wafilisti, Sauli na Waisraeli wote wakafadhaika na kuogopa.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Samweli 17:10-11

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha