1 Nyakati 24:20-21
1 Nyakati 24:20-21 NEN
Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya. Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.
Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya. Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.