Waroma 10:8
Waroma 10:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Maandiko Matakatifu yasema hivi: “Ujumbe huo wa Mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako” nao ndio ile imani tunayoihubiri.
Shirikisha
Soma Waroma 10Waroma 10:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini yanenaje? Lile neno liko karibu nawe, katika kinywa chako, na katika moyo wako; yaani, ni lile neno la imani tulihubirilo.
Shirikisha
Soma Waroma 10