Ufunuo 19:11
Ufunuo 19:11 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kisha nikaona mbingu imefunguka na hapo mbele yangu akiwepo farasi mweupe, ambaye yeye aliyempanda aliitwa Mwaminifu na Kweli. Yeye huhukumu kwa haki na kufanya vita.
Shirikisha
Soma Ufunuo 19Ufunuo 19:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha, nikaona mbingu zimefunguliwa; na huko alikuwako farasi mmoja mweupe, na mpandafarasi wake aliitwa “Mwaminifu” na “Kweli”. Huyo huhukumu na kupigana kwa ajili ya haki.
Shirikisha
Soma Ufunuo 19