Wafilipi 2:4-5
Wafilipi 2:4-5 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine. Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu
Shirikisha
Soma Wafilipi 2Wafilipi 2:4-5 Biblia Habari Njema (BHN)
Pasiwe na mtu anayetafuta faida yake mwenyewe tu bali faida ya mwenzake. Muwe na msimamo uleule aliokuwa nao Kristo Yesu
Shirikisha
Soma Wafilipi 2Wafilipi 2:4-5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine. Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu
Shirikisha
Soma Wafilipi 2