Marko 4:21
Marko 4:21 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu akaendelea kuwaambia, “Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa debe au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara.
Shirikisha
Soma Marko 4Marko 4:21 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akawaambia, Mwaonaje? Taa huja ili kuwekwa chini ya pishi, au mvunguni? Si kuwekwa juu ya kiango?
Shirikisha
Soma Marko 4