Mathayo 7:21
Mathayo 7:21 Biblia Habari Njema (BHN)
“Si kila aniambiaye, ‘Bwana, Bwana’, ataingia katika ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza matakwa ya Baba yangu aliye mbinguni.
Shirikisha
Soma Mathayo 7Mathayo 7:21 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
Shirikisha
Soma Mathayo 7