Luka 8:18
Luka 8:18 Biblia Habari Njema (BHN)
“Kwa hiyo, jihadharini jinsi mnavyosikia; maana aliye na kitu ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, hata kile anachodhani anacho, kitachukuliwa.”
Shirikisha
Soma Luka 8Luka 8:18 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Jiangalieni basi jinsi msikiavyo; kwa kuwa mwenye kitu atapewa, na yule asiye na kitu atanyang'anywa hata kile ambacho anadhaniwa kuwa nacho.
Shirikisha
Soma Luka 8