Luka 2:6-7
Luka 2:6-7 Biblia Habari Njema (BHN)
Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia, akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
Shirikisha
Soma Luka 2Luka 2:6-7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia, akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
Shirikisha
Soma Luka 2