Luka 2:41-42
Luka 2:41-42 Biblia Habari Njema (BHN)
Wazazi wake walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya Pasaka. Mtoto alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi.
Shirikisha
Soma Luka 2Luka 2:41-42 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi, wazee wake huenda Yerusalemu kila mwaka, wakati wa sikukuu ya Pasaka. Na alipofikisha umri wa miaka kumi na miwili, walipanda kama ilivyokuwa desturi ya sikukuu
Shirikisha
Soma Luka 2