Luka 2:37
Luka 2:37 Biblia Habari Njema (BHN)
Halafu alibaki mjane hadi wakati huo akiwa mzee wa miaka themanini na minne. Wakati huo wote alikaa hekaluni akifunga na kusali usiku na mchana.
Shirikisha
Soma Luka 2Luka 2:37 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Naye ni mjane wa miaka themanini na minne; haondoki katika hekalu, ila huabudu usiku na mchana kwa kufunga na kuomba.
Shirikisha
Soma Luka 2