Luka 2:36
Luka 2:36 Biblia Habari Njema (BHN)
Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.
Shirikisha
Soma Luka 2Luka 2:36 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Palikuwa na nabii mwanamke, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri, na umri wake ulikuwa miaka mingi, alikuwa amekaa na mume miaka saba baada ya uanawali wake.
Shirikisha
Soma Luka 2