Luka 2:21
Luka 2:21 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Hata zilipotimia siku nane, ulikuwa ndio wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Yesu, jina alilokuwa amepewa na malaika kabla hajatungwa mimba.
Shirikisha
Soma Luka 2Luka 2:21 Biblia Habari Njema (BHN)
Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
Shirikisha
Soma Luka 2