Luka 2:15
Luka 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: “Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha.”
Shirikisha
Soma Luka 2Luka 2:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ikawa, malaika hao walipoondoka kwenda zao mbinguni, wale wachungaji waliambiana, Haya, na twendeni mpaka Bethlehemu, tukalione hilo lililofanyika, alilotujulisha Bwana.
Shirikisha
Soma Luka 2