Luka 16:16
Luka 16:16 Biblia Habari Njema (BHN)
“Sheria na maandishi ya manabii vilikuwako mpaka wakati wa Yohane Mbatizaji. Tangu hapo, ufalme wa Mungu unahubiriwa, na kila mmoja anauingia kwa nguvu.
Shirikisha
Soma Luka 16Luka 16:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Torati na Manabii vilikuwapo mpaka Yohana; tangu wakati huo Habari Njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujiingiza kwa nguvu.
Shirikisha
Soma Luka 16