Yohane 14:18-19
Yohane 14:18-19 Biblia Habari Njema (BHN)
“Sitawaacha nyinyi yatima; nitakuja tena kwenu. Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini nyinyi mtaniona; na kwa kuwa mimi ni hai, nanyi pia mtakuwa hai.
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:18-19 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu. Bado kitambo kidogo na ulimwengu haunioni tena; bali ninyi mnaniona. Na kwa sababu mimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai.
Shirikisha
Soma Yohane 14