Yohane 14:1-2
Yohane 14:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu aliwaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia. Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama isingekuwa hivyo, ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi.
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:1-2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi. Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:1-2 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi. Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.
Shirikisha
Soma Yohane 14