Yohane 12:16
Yohane 12:16 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Wanafunzi wake Yesu mwanzoni hawakuelewa mambo haya, lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka kuwa mambo haya yalikuwa yameandikwa kwa ajili yake na alitendewa yeye.
Shirikisha
Soma Yohane 12Yohane 12:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Wakati huo wanafunzi wake hawakuelewa mambo hayo, lakini Yesu alipokwisha tukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba hayo yalikuwa yameandikwa juu yake, na kwamba watu walikuwa wamemtendea hivyo.
Shirikisha
Soma Yohane 12