Waamuzi 2:19
Waamuzi 2:19 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Lakini ikawa, wakati alipokufa mwamuzi huyo, wakarudi nyuma wakafanya maovu kuliko baba zao, kwa kuifuata miungu mingine ili kuitumikia, na kuinama mbele yao; hawakuacha matendo yao, wala njia zao za ukaidi.
Shirikisha
Soma Waamuzi 2Waamuzi 2:19 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini kila mara mwamuzi alipofariki walirudia mienendo yao ya zamani, wakaishi vibaya kuliko babu zao. Waliifuata miungu mingine, wakaitumikia na kuisujudia, wala hawakuyaacha matendo yao wala ukaidi wao.
Shirikisha
Soma Waamuzi 2