Yakobo 1:10
Yakobo 1:10 Biblia Habari Njema (BHN)
naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini.
Shirikisha
Soma Yakobo 1Yakobo 1:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
bali tajiri kwa kuwa ameshushwa; kwa maana atatoweka kama ua la majani.
Shirikisha
Soma Yakobo 1