Waebrania 4:15
Waebrania 4:15 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa kuwa hatuna Kuhani Mkuu asiyeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu wetu, lakini tunaye mmoja ambaye alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi tujaribiwavyo: lakini yeye hakutenda dhambi.
Shirikisha
Soma Waebrania 4Waebrania 4:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Huyu Kuhani Mkuu wetu anaelewa kabisa unyonge wetu; yeye mwenyewe alijaribiwa kama sisi kwa kila namna lakini hakutenda dhambi.
Shirikisha
Soma Waebrania 4