Waebrania 4:13
Waebrania 4:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Hakuna kiumbe chochote kilichofichika mbele ya Mungu; kila kitu kimefunuliwa wazi mbele ya macho yake yeye ambaye kwake tutapaswa kutoa hoja ya matendo yetu.
Shirikisha
Soma Waebrania 4Waebrania 4:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.
Shirikisha
Soma Waebrania 4