Waefeso 3:10-11
Waefeso 3:10-11 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
ili sasa, kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho; kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Shirikisha
Soma Waefeso 3Waefeso 3:10-11 Biblia Habari Njema (BHN)
kusudi sasa, kwa njia ya kanisa, wakuu na wenye enzi wa mbinguni wapate kuitambua hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi. Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu.
Shirikisha
Soma Waefeso 3