2 Wathesalonike 1:5
2 Wathesalonike 1:5 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Ndiyo ishara hasa ya hukumu iliyo haki ya Mungu, ili mhesabiwe kuwa mwastahili kuuingia ufalme wa Mungu, ambao kwa ajili yake mnateswa.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 12 Wathesalonike 1:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Hayo yote yanathibitisha kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na matokeo yake, nyinyi mtastahili ufalme wake ambao kwa ajili yake mnateseka.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 1