1 Wathesalonike 2:19-20
1 Wathesalonike 2:19-20 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Maana tumaini letu, au furaha yetu, au taji ya kujionea fahari, ni nini? Je! Si ninyi, mbele za Bwana wetu Yesu, wakati wa kuja kwake? Maana ninyi ndinyi utukufu wetu, na furaha yetu.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 21 Wathesalonike 2:19-20 Biblia Habari Njema (BHN)
Je, tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja, fahari ya ushindi wetu itakuwa nini? Itakuwa ni nyinyi wenyewe; nyinyi ndio tumaini letu na furaha yetu. Naam, nyinyi ni utukufu wetu na furaha yetu!
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 2