1 Yohane 5:6
1 Yohane 5:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji ya ubatizo wake na kwa damu ya kifo chake. Hakuja kwa maji tu, bali kwa maji na kwa damu. Naye Roho anashuhudia kwamba ni kweli, kwani Roho ni ukweli.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 51 Yohane 5:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu, Yesu Kristo; si katika maji tu, bali katika maji na katika damu.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 5