Nafikiria siku za zamani; nakumbuka miaka ya hapo kale. Usiku nawaza na kuwazua moyoni; natafakari na kujiuliza rohoni: “Je, Bwana ametuacha kabisa? Je, hatatuonesha tena hisani yake? Je fadhili zake zimekoma kabisa? Je, hatatimiza tena ahadi zake? Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, hasira yake imeuondoa upole wake?”
Shirikisha
Soma Zaburi 77
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video