Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 118:1-4

Zaburi 118:1-4 BHN

Mshukuruni Mwenyezi-Mungu, kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele. Watu wa Israeli na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.” Wazawa wa Aroni na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.” Wote wamchao Mwenyezi-Mungu na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Soma Zaburi 118

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha